Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yesu alipokwisha kuwanawisha miguu, akavaa tena kanzu yake na kurudi kukaa kwenye chakula. Naye akawauliza: “Munaelewa jambo nililowafanyia?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 13:12
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wakaniuliza hivi: Jambo hili unalofanya lina maana gani?


Naye Ezekieli atakuwa kitambulisho kwenu: mutafanya kila kitu kama vile alivyotenda. Wakati mambo hayo yatakapotukia, mutatambua kwamba mimi ni Bwana wenu Yawe.


Yesu akawauliza watu: “Mumeelewa maneno hayo yote?” Nao wakamujibu: “Ndiyo.”


Yesu akaongeza kuwaambia: “Kama musipoelewa mufano huu, namna gani mutaelewa mifano mingine?


Kwa maana, ni nani anayekuwa mukubwa; yule anayeikaa kwa kula chakula au yule anayemushugulikia? Hakika ni yule anayeikaa kwa kula chakula. Ingawa vile mimi niko hapa katikati yenu kama mwenye kushugulika!


Basi Yesu akaondoka kwenye chakula, akavua kanzu yake, akajifunga kitambaa katika kiuno.


Yesu akamujibu: “Sasa hauelewi jambo ninalofanya, lakini utalielewa nyuma.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ