Yoane 12:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 (Hakusema maneno haya kwa sababu aliwasikilia wamasikini huruma, lakini kwa sababu alikuwa mwizi. Ni yeye aliyekuwa akichunga mufuko wa feza, naye alikuwa akijitwalia mali toka ndani yake.) အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |