Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini Yuda Iskariota, mumoja wa wanafunzi wa Yesu, yule atakayemutoa, akasema:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 12:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tena nilitambua kwamba mutu anatoa jasho na kutumia ujuzi wake juu ya wivu tu kwa mwenzake. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Simoni wa kundi la Wazeloti, na Yuda Iskariota aliyemutoa Yesu.


Halafu mumoja wa wanafunzi kumi na wawili, aliyeitwa Yuda Iskariota, akaenda kwa wakubwa wa makuhani


Yuda mwana wa Yakobo na Yuda Iskariota aliyemutoa Yesu.


“Kwa sababu gani marasi hii ya bei kali haikuuzishwa kwa bei ya vikoroti mia tatu vya feza na kuwagawanyia wamasikini mali ile?”


Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakikula chakula cha magaribi, Shetani alikuwa amekwisha kumushawishi Yuda mwana wa Simoni Iskariota kwamba amutoe Yesu.


Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ