Yoane 12:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Na lile kundi la watu wakamujibu: “Sisi tumesikia katika maandiko ya Sheria kwamba Kristo ataishi milele. Basi namna gani unaweza kusema kama Mwana wa Mutu anapaswa kunyanyuliwa juu? Na huyu Mwana wa Mutu ni nani?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |