22 Filipo akaenda kumwambia Andrea, na kisha wote wawili wakaenda kumwelezea Yesu.
Hao ndio wanafunzi kumi na wawili Yesu aliowatuma, akiwaagiza mambo haya: “Musiende katika inchi za watu wa mataifa mengine wala musiingie katika muji wowote wa Samaria.
(Filipo alikuwa muzaliwa wa Betesaida, muji wa Andrea na Petro.)
Yesu akawajibu: “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mutu imetimia.
Mwanafunzi wake mwingine mumoja anayeitwa Andrea, ndugu ya Simoni Petro, akamwambia: