Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yesu akajibu: “Katika muchana kuna saa kumi na mbili. Kama mutu akitembea wakati wa muchana hajikwai, kwa sababu anaona mwangaza wa dunia hii.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 11:9
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu utaweza kwenda zako kwa usalama, wala muguu wako hautajikwaa.


Watarudi wakiwa wanatoa machozi, nami nitawaongoza nikiwafariji; nitawapitisha kando ya vijito vya maji, katika njia iliyonyooka ambamo hawatajikwaa; maana mimi nimekuwa baba wa Israeli, Efuraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.


Lakini kama mutu akitembea usiku, anajikwaa, kwa sababu hana mwangaza ndani yake.”


Yesu akawaambia: “Mwangaza ungali kati yenu kwa muda kidogo. Mutembee wakati mungali na mwangaza, kusudi giza lisiwafunike, kwa sababu anayetembea katika giza hajui pahali anapokwenda.


Imetupasa kufanya kazi za yule aliyenituma wakati kungali muchana, kwa sababu usiku unakaribia, wakati mutu asipoweza kutumika.


Yule anayemupenda ndugu yake, anaishi katika mwangaza na ndani yake hamuna kitu kinachoweza kuangusha mwingine katika zambi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ