6 Yesu aliposikia kwamba Lazaro yuko mugonjwa, akabaki tena kwa muda wa siku mbili pahali alipokuwa.
Kwa hiyo, Abrahamu akapaita pahali pale: “Yawe anajalia,” kama inavyosemwa hata leo: “Kwa mulima wa Yawe, watu wanajaliwa.”
Yosefu akakwenda pembeni, akaanza kulia. Alipotulia, akarudi kuzungumuza nao. Kisha akamukamata Simeoni na kumufunga mbele ya macho yao.
Hata hivyo, Yawe anangoja kuwasamehe, atasimama na kuwaonea huruma. Yawe ni Mungu wa haki. Heri wote wale wanaomutumainia.
Yesu aliwapenda Marta na dada yake pamoja na Lazaro.
Kisha akawaambia wanafunzi wake: “Turudi Yudea.”