56 Wakamutafuta Yesu, na wakaulizana hivi ndani ya hekalu: “Munawaza nini? Atakuja kwa karamu au hapana?”
Nao wakubwa wa makuhani na Wafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mutu akijua pahali Yesu alipokuwa, alete habari kusudi wapate kumufunga.
Wayuda walikuwa wakimutafuta kwenye sikukuu ile na kuuliza kwamba yeye yuko wapi.