Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 11:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Lakini wengine kati yao wakasema: “Yeye aliyeponyesha kipofu, asingeweza kuzuia mutu huyu asikufe?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 11:37
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninyi mumeona mambo mengi, lakini hamuelewi kitu. Masikio yenu yako wazi, lakini hamusikii kitu!


Kristo, Mufalme wa Waisraeli, ajishushe sasa juu ya musalaba, kusudi nasi tupate kuona na kumwamini.” Hata wale waliotundikwa pamoja naye walimutukana vilevile.


Watu walisimama pale wakiangalia. Nao wakubwa wa Wayuda walimusimanga Yesu, wakisema: “Aliokoa watu wengine, sasa ajiokoe yeye mwenyewe ikiwa yeye ndiye Masiya, yule aliyechaguliwa na Mungu.”


Mumoja wa wale watenda maovu wawili waliotundikwa juu ya musalaba alimutukana, akisema: “Si wewe ndiwe Kristo? Basi ujiokoe wewe mwenyewe na kutuokoa sisi vilevile.”


Marta akamwambia Yesu: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.


Maria alipofika pale Yesu alipokuwa na kumwona, akaanguka kwenye miguu yake na kusema: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ