Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 11:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hawa wadada wawili wakatuma habari hii kwa Yesu: “Bwana, rafiki yako mupendwa ni mugonjwa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 11:3
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu akamwambia: “Umutwae mwana wako, Isaka, mwana wako wa pekee unayemupenda, uende mpaka inchi ya Moria, umutoe kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto juu ya mulima nitakaokuonyesha.”


Na juu ya waaminifu katika inchi, ninaheshimu nguvu zao.


Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”


Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Lazaro, muzaliwa wa Betania aliyepatwa na ugonjwa. Wadada zake Maria na Marta walikaa katika kijiji kile.


Yesu alipokwisha kusema maneno haya, akaongeza kuwaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninakwenda kumwamusha.”


(Huyu Maria ndiye yule aliyemupakaa Bwana marasi na kupanguza miguu yake na nywele zake, na ni Lazaro kaka yake ndiye alikuwa mugonjwa.)


Marta akamwambia Yesu: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.


Halafu Wayuda wamoja wakasema: “Angalia namna alivyomupenda kweli!”


Yesu aliwapenda Marta na dada yake pamoja na Lazaro.


Munaniita ‘Mwalimu’ na ‘Bwana,’ na munasema kweli, maana ni vile ninavyokuwa.


Na kulikuwa mumoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimupenda, na aliyekuwa akimwegamia Yesu pale kwenye chakula.


Erasto alibakia Korinto, na nilimwacha Trofimo kule Mileto kwa sababu alikuwa mugonjwa.


Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ