29 Wakati Maria aliposikia hivi, akaondoka upesi kwenda kumukuta.
Moyo wangu unaniambia: “Kuja umutafute Mungu!” Basi, ninakutafuta, ee Yawe.
Kutoa jibu zuri kunafurahisha; neno linalofaa kwa wakati wake ni jema sana!
Chuma kinanoa chuma, vilevile mutu anafundishwa na mwenzake.
Marta alipokwisha kusema maneno hayo, akaenda kumwita dada yake Maria na kumwambia kwa siri: “Mwalimu amekuja, na anakuita.”
(Yesu alikuwa hajaingia bado katika kijiji, alikuwa angali pahali Marta alipomukuta.)