23 Yesu akamwambia: “Kaka yako atafufuka.”
Lakini ninajua kwamba hata sasa, kitu chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
Marta akajibu: “Ninajua kwamba atafufuka wakati watu watakapofufuka siku ya mwisho.”
Yesu akamwambia: “Sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”