13 Yesu alikuwa akisema kwamba Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake walizani kwamba amesema juu ya kulala usingizi.
Halafu akasema: “Mutoke hapa. Binti huyu mudogo hakukufa, lakini analala tu.” Nao wakaanza kumuchekelea.
Watu wote walikuwa wakilia na kusikitika sana kwa ajili ya kifo cha mutoto. Lakini Yesu akasema: “Musilie, kwa maana hakufi, lakini analala tu!”
Yesu alipokwisha kusema maneno haya, akaongeza kuwaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninakwenda kumwamusha.”
Basi wanafunzi wake wakamujibu: “Bwana, ikiwa amelala usingizi, atapona.”
Basi Yesu akawaambia waziwazi: “Lazaro amekufa.