Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 11:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Yesu alikuwa akisema kwamba Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake walizani kwamba amesema juu ya kulala usingizi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 11:13
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu akasema: “Mutoke hapa. Binti huyu mudogo hakukufa, lakini analala tu.” Nao wakaanza kumuchekelea.


Watu wote walikuwa wakilia na kusikitika sana kwa ajili ya kifo cha mutoto. Lakini Yesu akasema: “Musilie, kwa maana hakufi, lakini analala tu!”


Yesu alipokwisha kusema maneno haya, akaongeza kuwaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninakwenda kumwamusha.”


Basi wanafunzi wake wakamujibu: “Bwana, ikiwa amelala usingizi, atapona.”


Basi Yesu akawaambia waziwazi: “Lazaro amekufa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ