Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 11:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Lazaro, muzaliwa wa Betania aliyepatwa na ugonjwa. Wadada zake Maria na Marta walikaa katika kijiji kile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 11:1
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya mambo hayo, Yosefu akapewa habari kwamba baba yake ni mugonjwa. Hivyo, akatwaa wana wake wawili, Manase na Efuraimu, akakwenda nao kwa baba yake.


Kisha akawaacha, akatoka inje ya muji wa Yerusalema, naye akaenda Betania na kulala kule.


Yesu na wanafunzi wake wakakaribia kufika Yerusalema, upande wa kijiji cha Betefage na cha Betania, karibu na mulima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili katika wanafunzi wake,


Yesu alipokwisha kusema maneno haya, akaongeza kuwaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninakwenda kumwamusha.”


Kati ya kijiji cha Betania na Yerusalema kulikuwa umbali yapata kilometre tatu.


Wayuda wengi walikuwa wamekuja kwa Marta na Maria kwa kuwafariji kwa ajili ya kifo cha kaka yao.


Hawa wadada wawili wakatuma habari hii kwa Yesu: “Bwana, rafiki yako mupendwa ni mugonjwa.”


Wale watu wote waliokuwa pamoja na Yesu wakati alipomwita Lazaro toka ndani ya kaburi na kumufufua walishuhudia mambo yaliyofanyika.


Kundi kubwa la Wayuda wakapata habari kwamba Yesu yuko Betania. Kwa hiyo wakaenda kule, si kwa sababu ya Yesu tu, lakini vilevile kwa kumwona Lazaro aliyefufuliwa naye.


Katika siku zile akapata ugonjwa, naye akakufa. Walipokwisha kunawisha maiti yake, wakailalisha ndani ya chumba cha gorofi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ