Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 10:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wote waliokuja mbele sijafika ni wizi na wanyanganyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 10:8
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ole kwa wachungaji wanaowaangamiza na kusambaza kundi langu la kondoo! –Ni ujumbe wa Yawe.


Wewe mwanadamu! Toa unabii juu ya wachungaji wa inchi ya Israeli. Uwaambie hao wachungaji kwamba: Bwana wetu Yawe anasema hivi: Ole kwenu ninyi wachungaji wa inchi ya Israeli, munaojikulisha ninyi wenyewe tu! Haiwapasi wachungaji kuwakulisha kondoo?


Wakubwa wake ni simba wanaonguruma, waamuzi wake ni imbwa wa pori wenye njaa magaribi wasioacha chochote mpaka asubui.


Maana nitaleta katika inchi muchungaji asiyemujali kondoo anayeangamia, au kumutafuta kondoo anayetangatanga, au kumutunza aliyeumizwa wala kumukulisha yule anayekuwa muzima: lakini atakula wale kondoo wanono, hata kwato zao.


Yesu akasema: “Kweli, kweli ninawaambia: mutu asiyeingia kwa mulango wa upango wa kondoo, lakini anapandia na kuingilia nafasi ingine, yeye ni mwizi na munyanganyi.


Kondoo wangu wanasikia sauti yangu, ninawajua, nao wananifuata.


Kondoo wale hawawezi kumufuata mugeni; lakini watamukimbia, kwa sababu hawajui sauti ya mugeni.”


Haijapita siku nyingi kulitokea mutu mumoja aliyeitwa Teuda. Akajidai kuwa mutu mukubwa, na karibu watu mia ine walijiunga naye. Lakini akauawa na wanafunzi wake wote wakasambazwa na kutosemekana tena.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ