39 Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.
Wafarisayo wakaondoka pale na kwenda kufanya shauri la kumwua Yesu.
Halafu Wayuda wakaokota tena mawe kwa kumutupia.
Basi wakatafuta kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijatimia.
Wengine katikati yao walitaka kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata.
Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.