Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 10:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Lakini wengine wakasema: “Mutu anayekuwa na pepo hawezi kusema hivi. Pepo zinaweza kuponyesha macho ya vipofu?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 10:21
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

anawafungua vipofu macho. Yawe anawainua waliogandamizwa; anawapenda watu wa haki.


Aliyefanya sikio, yeye hawezi kusikia? Aliyeumba jicho, yeye hawezi kuona?


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Nitakinga watu wangu na mambo yatakayowapata watu wako. Mambo hayo yatafanyika kesho.’ ”


Sikio linalosikia na jicho linaloona, vyote viwili vimefanywa na Yawe.


vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Siku moja, katika nyakati za mvua kubwa, kukakuwa sikukuu ya Kukumbuka Muzinduo wa hekalu katika Yerusalema.


Yesu alipokwisha kusema vile, akatema mate chini, akayavuruga pamoja na mavumbi na kufanya matope kidogo, akayapakaa kwa macho ya yule kipofu


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ