Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Yeye hashuguliki na kondoo kwa sababu anatumikia mushahara tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 10:13
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mutumishi wa mushahara si muchungaji, wala kondoo si wake. Kwa sababu hii wakati anapoona imbwa wa pori anakuja, anaacha kondoo na kukimbia. Na halafu imbwa wa pori anawakamata na kuwasambaza.


Mimi ni muchungaji mwema. Ninajua kondoo wangu na kondoo wangu wananijua,


(Hakusema maneno haya kwa sababu aliwasikilia wamasikini huruma, lakini kwa sababu alikuwa mwizi. Ni yeye aliyekuwa akichunga mufuko wa feza, naye alikuwa akijitwalia mali toka ndani yake.)


Basi wakamukamata Sositeni, mukubwa wa nyumba ya kuabudia, wakamupiga pale mbele ya tribinali. Lakini Galio hakushugulika na jambo hilo.


Ningependa muishi bila masumbuko yoyote. Mutu asiyeoa anashugulikia mambo ya Bwana, anatafuta jinsi ya kumupendeza Bwana.


Lakini mutu aliyeoa anasumbukia mambo ya dunia, anatafuta jinsi ya kupendeza muke wake.


Ni yeye tu ndiye mafikiri yake yanapatana na yangu, naye anashugulika kweli na mambo yanayowaelekea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ