Yoane 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Lakini mutumishi wa mushahara si muchungaji, wala kondoo si wake. Kwa sababu hii wakati anapoona imbwa wa pori anakuja, anaacha kondoo na kukimbia. Na halafu imbwa wa pori anawakamata na kuwasambaza. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |