8 Yeye mwenyewe hakukuwa mwangaza ule, lakini alikuja tu kuushuhudia.
Yoane aliwajibu hivi waziwazi bila kukana: “Mimi si Kristo.”
Ule mwangaza wa kweli, unaomwangazia kila mutu, unakuja katika dunia.
Ninyi wenyewe ni washuhuda wangu kwamba nilisema: ‘Mimi si Kristo, lakini nimetumwa mbele yake.’
Paulo akawaambia: “Yoane aliwabatiza wale waliogeuka toka zambi zao na kuwaambia Waisraeli kwamba wamwamini yule atakayekuja nyuma yake, naye ndiye Yesu.”