Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 1:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Naye akawajibu: “Mukuje na mutaona.” Basi wakaenda, wakaona pahali alipokaa, wakabaki pamoja naye siku ile. (Ilikuwa karibu na saa kumi ya magaribi.)

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 1:39
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


Lakini wakamusihi sana abakie pamoja nao, kwa maana ilikuwa magaribi na giza lilitaka kuingia. Basi akaingia ndani ya nyumba kubakia pamoja nao.


Yesu akageuka, akawaona wakimufuata, akawauliza: “Munatafuta nini?” Wakajibu: “Rabi (maana yake ‘Mwalimu’), unakaa wapi?”


Andrea, ndugu ya Simoni Petro, alikuwa mumoja wa wale wawili waliosikia maneno ya Yoane na kumufuata Yesu.


Natanaeli akamwuliza: “Kuna kitu kizuri kinachoweza kutoka Nazareti?” Filipo akamujibu: “Kuja uone.”


Na Wasamaria walipomufikia Yesu, walimusihi akae pamoja nao, naye akakaa kule muda wa siku mbili.


Wote Baba anaonipa wanakuja kwangu; nami sitamukataa hata kidogo yule anayekuja kwangu.


Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ