Yoane 1:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
39 Naye akawajibu: “Mukuje na mutaona.” Basi wakaenda, wakaona pahali alipokaa, wakabaki pamoja naye siku ile. (Ilikuwa karibu na saa kumi ya magaribi.)
Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.