Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 1:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Mambo hayo yalifanyika Betania, ngambo ya muto Yordani, pahali Yoane alipokuwa akibatiza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 1:28
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku iliyofuata Yesu alitaka kwenda Galilaya. Alipomukuta Filipo akamwambia: “Unifuate.”


Halafu Yesu akaenda tena ngambo ingine ya Yordani, pahali Yoane alipobatiza watu zamani, na kubaki kule.


“Kwa sababu gani marasi hii ya bei kali haikuuzishwa kwa bei ya vikoroti mia tatu vya feza na kuwagawanyia wamasikini mali ile?”


Yoane vilevile alikuwa akibatiza kule Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu kule kulikuwa maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza.


Basi wakamwendea Yoane na kumwambia: “Mwalimu, unakumbuka yule mutu aliyekuwa pamoja nawe ngambo ya Yordani, yule uliyemushuhudia? Angalia sasa, yeye anabatiza, na watu wote wanamufikia!”


Gideoni akatuma wajumbe katika inchi yote ya milima ya Efuraimu watangaze: “Muteremuke kwa kuwafuata Wamidiani na kuwazuia kwa kuteka vijito na muto Yordani mpaka Beti-Bara.” Basi, wanaume wote wa Efuraimu wakakuja na kuuteka muto Yordani mpaka Beti-Bara.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ