Yeremia 8:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Katika nyakati hizo, mifupa ya wafalme wa Yuda, mifupa ya wakubwa wao, mifupa ya makuhani, mifupa ya manabii na mifupa ya wakaaji wote wa Yerusalema itachimbuliwa toka ndani ya makaburi yao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |