Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 7:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Lakini mugeuze mwenendo wenu na matendo yenu. Mufuate sheria yangu kati yenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 7:5
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mukiwa tayari kunitii, mutakula mazao mema ya inchi.


Wamoabu wanawaambia watu wa Yuda: Mutuongoze, mutuamue. Mueneze ulinzi wenu juu yetu, kama vile usiku unavyoeneza kivuli chake. Mutufiche sisi wakimbizi; musitutoe sisi tuliofukuzwa.


Enyi jamaa ya Daudi, Yawe anasema hivi: Kila asubui muamue maneno kufuatana na sheria yangu, muwakomboe wote walionyanganywa mali zao toka katika mikono ya watesaji. Kama si vile, hasira yangu itawaka kama moto, wala hakuna atakayeweza kuizimisha, kwa sababu ya matendo yenu maovu.


Unazani umekuwa mufalme kwa kujenga na mierezi? Baba yako alikula na kunywa, alifuata sheria yangu na kutenda mambo ya haki, na mambo yake yaliendeka vizuri.


Yawe anasema hivi: Mufuate sheria yangu na kutenda kwa haki. Muokoe kila mutu aliyenyanganywa mali zake toka katika mikono ya mutesaji. Musiwatendee vibaya au kwa ukali wageni, wayatima na wajane, wala musimwange damu ya mutu asiyekuwa na kosa kwa nafasi hii.


Sasa basi, mugeuze mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Yawe, Mungu wenu. Mukifanya hivyo, Yawe atabadilisha nia yake na kuacha kuwaletea hasara aliyokusudia kuleta juu yenu.


Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Mugeuze mwenendo wenu na matendo yenu, nami nitawaacha muendelee kukaa pahali hapa.


Kama mutu ni wa haki, ataishi. Mutu wa haki anatenda hivi: anafuata sheria ya Mungu na kutenda kwa haki, hakuli sadaka kwenye milima, haziangalii sanamu za miungu ya Waisraeli, hamuchafui muke wa jirani yake, halali na mwanamuke wakati wake wa ugonjwa wa mwezi, hamutendei mutu yeyote ubaya, anarudisha rehani, haibi, anawapatia wenye njaa chakula anawavalisha wale wanaokuwa uchi, anakopesha bila kudai faida wala kujipatia mazidio, anaepuka kutenda uovu, anaamua kwa haki kati ya mwenye kudai na mwenye kudaiwa, anafuata masharti yangu na kutii maagizo yangu kwa moyo. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Musipunjane, lakini, mutamwogopa Mungu wenu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.


Haya ndiyo mambo ambayo mimi Yawe niliyowaambia kupitia kwa manabii wa zamani, wakati Yerusalema ulikuwa umestawi na wenye wakaaji tele, na wakati ambapo kulikuwa wakaaji wengi katika miji ya kandokando yake na katika eneo la Negebu na mabonde ya Sefela.


Basi wakakuta kati ya wakaaji wa Yabesi-Gileadi wabinti mia ine ambao hawakukuwa wamekwisha kulala na mwanaume yeyote, wakawapeleka katika kambi kule Shilo katika inchi ya Kanana.


Siku hiyo, Debora na Baraka mwana wa Abinoamu, wakaimba wimbo huu:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ