1 Yawe akamutolea Yeremia ujumbe, akisema: Kwenda kusimama
Kisha, neno la Yawe lilimufikia Elia kusema hivi:
Neno la Yawe lilinifikia kusema hivi:
Katika mwaka wa ine wa utawala wa mufalme Yoyakimu mwana wa Yosia, juu ya inchi ya Yuda, Yawe alimupa Yeremia ujumbe juu ya watu wa Yuda. Mwaka huo ulikuwa wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mufalme wa Babeli.
Basi wataitwa “takataka za feza”, maana mimi Yawe nimewakataa.
kwenye mulango wa hekalu lake na kutangaza ujumbe huu: Musikilize neno la Yawe enyi watu wa Yuda munaoingia humu kwa kumwabudu Yawe.