Yeremia 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Yawe wa majeshi anasema hivi: Muwakusanye watu wote wa Israeli waliobaki kama vile watu wanavyookotesha zabibu katika shamba; kama vile muchumaji wa zabibu, mupitishe mikono katikati ya matawi yote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |