Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Watu wataufikia kama vile wachungaji na makundi yao, watasimamisha hema zao kandokando yake, kila wamoja upande wao kwa kulisha makundi yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 6:3
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Yawe akamupelekea makundi ya Wababeli, Waaramu, Wamoabu na Waamoni washambulie inchi ya Yuda na kuiharibu, kulingana na neno la Yawe alilolisema kwa njia ya watumishi wake manabii.


Wachungaji wengi wameharibu shamba langu la mizabibu, wamekanyagakanyaga chini urizi wangu; shamba langu zuri wamelifanya jangwa.


Ewe mufalme wa Asuria, wachungaji wako wamelala, waheshimiwa wako wamesinzia. Watu wako wametawanyika kwenye milima, wala hakuna yeyote wa kuwakusanya.


Kwa maana siku zitakufikia wakati waadui zako watakapokuzunguka kwa vita, watakapojenga ukuta wa kujikingia pembeni yako, na kukusonga pande zote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ