Basi, Yawe akamupelekea makundi ya Wababeli, Waaramu, Wamoabu na Waamoni washambulie inchi ya Yuda na kuiharibu, kulingana na neno la Yawe alilolisema kwa njia ya watumishi wake manabii.
Ewe mufalme wa Asuria, wachungaji wako wamelala, waheshimiwa wako wamesinzia. Watu wako wametawanyika kwenye milima, wala hakuna yeyote wa kuwakusanya.