2 Alitenda maovu mbele ya Yawe akifuata yote Yoyakimu aliyofanya.
Watu wa Yuda walitenda maovu mbele ya Yawe. Walimukasirikisha kwa zambi zao walizotenda, nyingi kuliko za babu zao.
Utachora njia upanga utakapopitia kwenda kuufikilia muji Raba wa Waamoni, na njia ingine inayoelekea Yerusalema wenye kuzungukwa na kuta katika inchi ya Yuda.