Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 51:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Kwa hiyo, siku zinakuja ambapo nitaiazibu miungu ya Babeli, na wenye kuumizwa watalalamika katika inchi yake yote. –Ni ujumbe wa Yawe.–

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 51:52
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, siku zinakuja ambapo nitaazibu sanamu za Babeli; inchi yake yote itapata haya, watu wake wote watauawa humohumo. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Jua kali liyapige maji, kusudi yapate kukauka! Maana Babeli ni inchi inayojaa sanamu za miungu, watu ni wenda-wazimu kwa sababu ya miungu yao.


Nitaitia mikono ya mufalme wa Babeli nguvu na kutia upanga wangu katika mukono wake. Lakini nitaivunja mikono ya Mufalme wa Misri, naye atalalamika mbele ya mufalme wa Babeli kama mutu aliyeumizwa vibaya sana.


Nitakutumia ugonjwa mukali na umwangaji wa damu utafanyika katika barabara zako. Utashambuliwa kwa upanga toka pande zote na watu wako watakaouawa, watakuwa wengi. Halafu watatambua kwamba mimi ni Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ