Yeremia 5:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Yawe anauliza: Namna gani nitaweza kukusamehe, ee Yerusalema? Watu wako wameniasi; wameapa kwa majina ya miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakakusanyika kwa uwingi katika nyumba za makahaba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |