Yeremia 48:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Muchimbie Moabu kaburi, maana kuangamia kwake ni hakika; miji yake itakuwa tupu, bila mukaaji hata mumoja. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kwa hiyo, kama vile ninavyoishi, –ni ujumbe wa Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli– inchi ya Moabu itakuwa kama Sodoma na ya Amoni itakuwa kama Gomora. Inchi zake zitakuwa shamba la miiba na mashimo ya chumvi, zitakuwa ukiwa milele. Watu wangu watakaobaki wataziteka, watu wa taifa langu waliobaki watazirizi.