Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 48:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Moabu imekwisha kuangamizwa, kilio chake kinasikilika mpaka Zoari.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 48:4
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa njia ya barua hizi mufalme akawaruhusu Wayuda katika kila muji kukusanyika kwa kuyalinda maisha yao. Walikuwa na ruhusa ya kuharibu, kuua bila huruma na kuangamiza kundi lolote la watu au jimbo, lenye kuwashambulia kwa silaha pamoja na wanawake na watoto wao, na kunyanganya mali zao.


Heri yule atakayetwaa watoto wako na kuwapondaponda juu ya jiwe!


Mutu huyo akuwe kama miji Yawe aliyoiangusha bila huruma. Mutu huyo asikie kilio asubui, na muchana asikie kelele za vita,


Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: Maangamizi na uharibifu mukubwa!


Wale wanaopanda kwenda Luhiti wanalia kwa sauti. Wanapoteremuka kwenda Horonaimu, wanasikia kilio cha uharibifu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ