Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 42:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yawe, Mungu wa Israeli, ambaye ninyi mulinituma kwake nipeleke maombi yenu, anasema hivi:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 42:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Labda Yawe, Mungu wako, alisikia maneno ya yule jemadari ambaye ametumwa na bwana wake mufalme wa Asuria, kwa kumutukana Mungu Mwenye Uzima, naye Yawe, Mungu wako atamwazibu kwa ajili ya maneno aliyosikia. Uwaombee watu wanaobaki.’ ”


aliwaambia: “Mumwambie bwana wenu kwamba Yawe anasema hivi: ‘Usiogope kwa sababu ya maneno uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mufalme wa Asuria wameyasema kwa kunitusi.


wakamwendea Yeremia, wakamwambia: Tafazali sikiliza maombi yetu na kutuombea kwa Yawe, Mungu wako, sisi wote tuliobaki, kwa maana tulikuwa wengi, lakini sasa tumebaki wachache tu, kama unavyoona.


Basi, Yeremia akamwita Yohana mwana wa Karea, na wakubwa wote wa waaskari pamoja na watu wote, wadogo kama vile wakubwa, akawaambia:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ