Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 40:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Gedalia aliapa mbele yao na mbele ya waaskari wao akisema: Musiogope kuwatumikia Wakaldea. Mukae katika inchi mumutumikie mufalme wa Babeli, na mambo yote yatawaendekea vema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 40:9
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.


Naye Gedalia aliapa mbele yao na watu wao, akasema: “Musiogope kwa sababu ya wakubwa wa Wababeli. Mukae katika inchi mumutumikie mufalme wa Babeli na mambo yote yatawaendekea vema.”


Utapata matunda ya jasho lako, utafurahi na kupata uheri.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Lakini watu wa taifa lolote litakalobeba kwenye shingo nira mufalme wa Babeli atakayolazimisha kubeba na kumutumikia, nitawaacha wakae katika inchi yao, walime udongo na kuishi humo. –Ni ujumbe wa Yawe.


Namna gani muji uliokuwa umejaa watu, sasa unakaa peke yake! Ulikuwa na utukufu kati ya mataifa, sasa umekuwa kama mama mujane. Ulikuwa kama binti wa mufalme kati ya miji, sasa umekuwa mutumwa.


Chakula chetu tunakipata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazungukazunguka katika jangwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ