Yeremia 39:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 (Basi wakubwa hawa wote wa mufalme wa Babeli waliingia na kukaa kwenye mulango wa katikati: Nergali-Sarezeri, Samgari-Nebo, Sarsekimu jemadari mukubwa wa na Nergali-Sarezeri mukubwa wenye maarifa, pamoja na wakubwa wengine wote wa mufalme wa Babeli.) အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |