Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 38:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Bwana wangu mufalme, watu hawa wamefanya kitu kibaya. Wamemutia yule nabii Yeremia katika kisima ambamo kwa kweli atakufa kwa njaa, kwa maana hakuna chakula tena katika muji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 38:9
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sijaogopa kusimama mbele ya kundi la watu wala kukaa kimya au kujifungia ndani, kwa kuogopa kutishwa na mazarau yao.


Waadui wao wanavizia maisha yao watauzunguka muji ule kwa vita. Wataleta taabu na masumbuko hata watu watakula wenzao. Nitawafanya wakule miili ya wana na wabinti zao.


Basi, mufalme Zedekia akatoa amri Yeremia awekwe katika chumba cha walinzi na kupewa mukate kila siku kutoka kwa wapikaji wa mukate mpaka mikate ilipotoweka kabisa huko katika muji. Basi, Yeremia alibaki katika chumba cha walinzi.


Halafu mufalme akamwamuru yule Mwetiopia Ebedimeleki hivi: Twaa watu watatu kutoka hapa uende umutoe nabii Yeremia katika kisima, mbele hajakufa.


Basi, Ebedimeleki akamwendea mufalme, akamwambia:


Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hautatiwa katika mikono ya watu unaowaogopa.


Katika siku ya kenda ya mwezi wa ine, njaa ilikuwa kali sana katika muji hata hakukukuwa chakula chochote kwa ajili ya wakaaji wake.


Watu wa Yerusalema wote wanaugua, wakitafuta chakula; wanatoa vitu vyao vya bei kali kwa kupata chakula, kusudi wajirudishie nguvu zao. Nao muji unalia, Ee Yawe, uniangalie, ona jinsi nilivyogeuka kuwa zaifu.


Walinitupa ndani ya shimo nikiwa muzima na juu yangu wakalundika mawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ