Yeremia 38:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Wakubwa wakamwambia mufalme: Inafaa mutu huyu auawe kwa maana anawavunja moyo waaskari ambao wameachwa katika muji huu na watu wote kwa jumla, kwa kusema maneno kama hayo. Yeye hawatakii watu hawa mema lakini mabaya. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |