Yeremia 38:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Yawe anasema hivi: Yeyote atakayebaki katika muji huu atakufa kwa vita, njaa na ugonjwa mukali; lakini yule atakayeondoka na kujitoa kwa Wakaldea, ataishi. Maisha yake yatatekwa naye ataishi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yawe anasema hivi: Na kama vile wanavyozitendea zile tini mbaya, tini zinazokuwa mbaya hata hazifai kukuliwa, ndivyo nitakavyowatendea mufalme Zedekia wa Yuda, wakubwa wa serikali yake pamoja na watu wengine wote wa Yerusalema waliobaki katika inchi hii, na vilevile wale ambao walihamia katika inchi ya Misri.