Yeremia 38:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
12 Kisha yule Mwetiopia Ebedimeleki akamwambia Yeremia: Weka nguo hizo katika makwapa yako, kisha upitishe kamba hizo chini ya nguo hizo. Yeremia akafanya hivyo.
Basi, Ebedimeleki akatwaa watu hao na kwenda pamoja nao katika nyumba ya kifalme, wakaingia katika gala ya nyumba ya kifalme; Ebedimeleki akatwaa nguo zilizopasukapasuka na kuchakaa, akaziteremushia Yeremia ndani ya kisima kwa kamba.
Lakini Ebedimeleki, towashi Mwetiopia aliyetumika katika nyumba ya kifalme, alipata habari kwamba walikuwa wamemutia Yeremia katika kisima. Wakati huo mufalme alikuwa anafanya baraza kwenye mulango wa Benjamina.