Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 38:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kisha yule Mwetiopia Ebedimeleki akamwambia Yeremia: Weka nguo hizo katika makwapa yako, kisha upitishe kamba hizo chini ya nguo hizo. Yeremia akafanya hivyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 38:12
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Ebedimeleki akatwaa watu hao na kwenda pamoja nao katika nyumba ya kifalme, wakaingia katika gala ya nyumba ya kifalme; Ebedimeleki akatwaa nguo zilizopasukapasuka na kuchakaa, akaziteremushia Yeremia ndani ya kisima kwa kamba.


Kisha wakamukokota Yeremia kwa kamba, wakamutosha ndani ya kisima. Kisha hayo, Yeremia akaendelea kukaa katika chumba cha walinzi.


Lakini Ebedimeleki, towashi Mwetiopia aliyetumika katika nyumba ya kifalme, alipata habari kwamba walikuwa wamemutia Yeremia katika kisima. Wakati huo mufalme alikuwa anafanya baraza kwenye mulango wa Benjamina.


Mupendane ninyi kwa ninyi kwa kweli kama vile wandugu, nanyi muheshimiane ninyi kwa ninyi.


Mufurahi pamoja na wenye kufurahi. Mulie pamoja na wenye kulia.


Lakini mutendeane wema ninyi kwa ninyi; musameheane kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ