Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 38:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Sefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Yukali mwana wa Selemia, pamoja na Pushuri mwana wa Malkia walisikia maneno ambayo Yeremia aliwatangazia watu wote akisema:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 38:1
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

hao walipewa muji wa Hebroni katika inchi ya Yuda na mashamba ya malisho kandokando yake.


na Adaya mwana wa Yerohamu mwana wa Pasuri mwana wa Malkia; na Masai mwana wa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Mesulamu mwana wa Mesilemoti mwana wa Imeri.


wa ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;


pamoja na wandugu zao waliofanya kazi katika hekalu walikuwa mia nane makumi mbili na wawili. Pamoja na hao, kulikuwa Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia mwana wa Amsi mwana wa Zakaria mwana wa Pasuri mwana wa Malkiya;


ukoo wa Sefatia: mia tatu makumi saba na wawili;


Yeremia akawaambia ujumbe huo watu wote wa Yuda na wakaaji wa Yerusalema, akisema:


Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hautatiwa katika mikono ya watu unaowaogopa.


akiwaambia: “Tuliwakataza kwa nguvu musifundishe tena kwa jina la mutu huyu. Na sasa mumeeneza mafundisho yenu katika Yerusalema yote, nanyi munataka kutubebesha lazima ya kifo chake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ