3 Basi, nikamutwaa Yazania mwana wa Yeremia mujukuu wa Habazinia na wandugu zake pamoja na wanawake wote na ukoo wote wa Warekabu,
Kwenda kwa wazao wa Rekabu, useme nao. Kisha, uwalete katika chumba kimoja ndani ya nyumba yangu mimi Yawe, uwape divai wakunywe.
nikawaleta kwenye nyumba ya Yawe, katika chumba cha wana wa mutu wa Mungu Hanani mwana wa Igidalia. Chumba hicho kilikuwa karibu na chumba cha wakubwa juu ya chumba cha mulinzi wa mulango Maseya mwana wa Salumu.