Yeremia 32:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Nikalinunua shamba hilo linalokuwa kule Anatoti, kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nikamulipa bei yake vikoroti kumi na saba vya feza. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Mufalme alipokuwa anapita, nabii akamulilia akisema: “Bwana, mimi mutumishi wako nilikuwa kwa mustari wa mbele katika vita. Kukakuja askari mumoja, akaniletea mateka mumoja na kuniambia: ‘Umulinde mutu huyu. Akitoroka utalipa kwa maisha yako wewe peke yako, au kwa bei ya vikoroti elfu tatu vya feza.’