Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 32:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Hanameli mwana wa baba yako mudogo Salumu atakuja kwako na kusema: Nunua shamba langu linalokuwa kule Anatoti, maana wewe ni ndugu yangu kabisa, nawe uko na haki ya kulikomboa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 32:7
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe alikuwa amekwisha kumwambia Ahiya kwamba muke wa Yeroboamu alikuwa katika njia, anakuja kumwuliza yatakayomupata mwana wake mugonjwa, na jinsi atakavyomujibu. Muke wa Yeroboamu alipofika, alijisingizia kuwa mutu mwingine.


Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mumoja wa makuhani wa muji Anatoti, katika inchi ya kabila la Benjamina.


Kwa hiyo Yawe wa majeshi anasema hivi juu ya watu wa Anatoti ambao wanataka kuniua na kuniambia: Usitutabirie kwa jina la Yawe, kama si vile tutakuua.


Yeremia akasema: Neno la Yawe lilinifikia kusema hivi:


Kisha binamu yangu Hanameli akanifikia katika baraza la walinzi kama alivyonifahamisha Yawe, akaniambia: Nunua shamba langu linalokuwa kule Anatoti katika inchi ya Benjamina maana wewe uko na haki ya kulikomboa. Ulinunue kwa faida yako. Basi nikajua kwamba neno hili ni la Yawe.


Musiuzishe mashamba kabisa, maana hiyo ni mali yangu na ninyi ni wageni na wasafiri katika inchi yangu.


Ndiyo maana katika inchi yote mutakuwa na utaratibu wa kukomboa mashamba.


Kama ndugu yako anakuwa masikini, akiuzisha shamba lake, basi, ndugu yake wa karibu mwenye madaraka ya kulikomboa, atalikomboa.


Lakini mashamba Walawi wanayorizi kwa pamoja, yasiuzishwe, maana huo ni urizi wao wa kudumu.


Mujomba wake anaweza vilevile kumukomboa, au binamu yake au ndugu wa karibu katika ukoo wake. Anaweza vilevile kujikomboa yeye mwenyewe kama akiwa tajiri.


Uwaamuru Waisraeli kwamba kutokana na urizi watakaopewa, wawape Walawi miji ya kukaa na sehemu za malisho kandokando ya miji hiyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ