Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 32:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yawe akamutolea Yeremia ujumbe katika mwaka wa kumi wa utawala wa Zedekia mufalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 32:1
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sedekia alikuwa na umri wa miaka makumi mbili na mumoja alipoanza kutawala, akatawala kule Yerusalema kwa muda wa miaka kumi na mumoja.


Neno hili lilimufikia Yeremia kutoka kwa Yawe, wakati mufalme Zedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkia, na kuhani Zefania mwana wa Masea kwa kumwambia Yeremia hivi:


Katika mwaka wa ine wa utawala wa mufalme Yoyakimu mwana wa Yosia, juu ya inchi ya Yuda, Yawe alimupa Yeremia ujumbe juu ya watu wa Yuda. Mwaka huo ulikuwa wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mufalme wa Babeli.


Katika mwanzo wa utawala wa mufalme Zedekia mwana wa Yosia juu ya inchi ya Yuda, Yawe alimutolea Yeremia ujumbe, akisema:


Yawe akamutolea Yeremia ujumbe huu wakati Nebukadneza, mufalme wa Babeli, pamoja na waaskari wake wote na falme zote za dunia zilizokuwa chini ya utawala wake, vilevile na watu wote walipokuwa wakiushambulia Yerusalema na miji mingine yote ya kandokando yake:


Mwaka wa kumi na nane na utawala wake, alipeleka kutoka Yerusalema watu mia nane makumi tatu na wawili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ