Yeremia 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Zaidi ya hayo, Yuda alishuhudia kwamba niliachana na Israeli kwa sababu ya ukahaba wake na kwa kukosa uaminifu kwangu. Lakini hata hivyo, Yuda, dada yake mudanganyifu, hakuogopa; naye vilevile alikwenda na kufanya ukahaba! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |