Yeremia 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Katika siku ya utawala wa mufalme Yosia, Yawe aliniambia hivi: Umeona jinsi yule Israeli asiyekuwa mwaminifu alivyofanya? Aliniacha, akapanda juu ya kila kilima kirefu na kwenda chini ya kila muti wenye majani mabichi, akafanya ukahaba wake kule! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |