Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 27:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yawe aliniambia hivi: Yeremia, ujitengenezee kamba na nira na kuvifungia kwenye shingo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 27:2
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha mumoja wa manabii hao, Zedekia mwana wa Kenana, akajitengenezea pembe za chuma akasema: “Yawe anasema hivi: ‘Kwa pembe hizi, utawarudisha nyuma Waaramu na kuwaangamiza.’ ”


Lakini watu wa taifa lolote litakalobeba kwenye shingo nira mufalme wa Babeli atakayolazimisha kubeba na kumutumikia, nitawaacha wakae katika inchi yao, walime udongo na kuishi humo. –Ni ujumbe wa Yawe.


Yeremia akamwambia Zedekia mufalme wa Yuda, mambo hayohayo, akisema: Mukubali kubeba nira mufalme wa Babeli atakayowalazimisha kubeba. Mumutumikie yeye na watu wake, kusudi mupate kuishi.


Siku hiyo itakapofika, nitaivunja nira inayofungiwa katika shingo lao na kukata minyororo yao.


Huko Tapanesi muchana utakuwa giza wakati nitakapovunja mamlaka ya Misri na kiburi chake kikubwa kitakapokomeshwa. Wingu litaifunika inchi ya Misri na watu wake watakamatwa mateka.


Tengeneza munyororo; kwa maana inchi imejaa makosa ya umwangaji wa damu na muji umejaa mateso makali.


Bwana wetu Yawe alinionyesha hivi: Yawe alikuwa anaumba nzige kundi zima, nyuma ya watu kumaliza kukata majani kwa ajili ya nyama wa mufalme. Wakati ule, majani yalikuwa ndio yanaanza kuchipuka tena.


Bwana wetu Yawe alinionyesha tena maono mengine: Bwana wetu Yawe akiuita moto wa hukumu wa kuwaazibu watu. Moto ule uliunguza vilindi vikubwa vya bahari, ukaanza kuiteketeza inchi kavu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ