Yeremia 22:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Kama mukishika neno hili nililowaambia, basi wafalme watakaotawala kwa kiti cha kifalme cha Daudi wataendelea kuingia wakipitia milango ya nyumba hii ya kifalme. Watapita pamoja na wakubwa wa serikali yao na watu wao, wakipanda juu ya farasi na magari yenye kukokotwa na farasi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |