Yeremia 22:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Yawe anasema hivi: Mufuate sheria yangu na kutenda kwa haki. Muokoe kila mutu aliyenyanganywa mali zake toka katika mikono ya mutesaji. Musiwatendee vibaya au kwa ukali wageni, wayatima na wajane, wala musimwange damu ya mutu asiyekuwa na kosa kwa nafasi hii. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |