Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 18:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yeremia, simama uende kwa nyumba ya mufinyanzi, na huko nitakuambia maneno yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 18:2
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Miaka mitatu mbele ya pale, Yawe alimwambia Isaya mwana wa Amozi hivi: Kwenda uvue nguo ya gunia uliyokuwa umevaa katika kiuno, na viatu vyako. Isaya akafanya kama alivyoambiwa; akakuwa anatembea uchi na bila viatu.


Yawe aliniambia hivi: Kwenda ununue mukaba na kuuvaa katika kiuno; lakini usiutie ndani ya maji.


Basi, nikatelemuka mpaka kwenye nyumba ya mufinyanzi, nikamukuta mufinyanzi akifanya kazi yake kwenye gurudumu la kufinyangia udongo.


Kama wangalihuzuria katika baraza langu, wangalitangazia watu wangu maneno yangu, wangaliwageuza kutoka katika njia zao mbaya, na kutoka katika matendo yao maovu.


Yawe alinionyesha tena maono mengine: Yawe alikuwa anasimama karibu na ukuta, akishika katika mukono wake uzi wenye timazi.


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


Zamani Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya manabii, mara nyingi na kwa namna nyingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ